Jokate Mwegelo

Jokate Mwegelo Instagram – Mwadila, eng’washi πŸ‘‹πŸ½πŸ‘‹πŸ½πŸ‘‹πŸ½πŸ‘‹πŸ½πŸ‘‹πŸ½

Vijana zaidi ya 1000 wametembea Kilometa 30 kulifuata
Daraja la Kigongo-Busisi ambapo leo Mheshimiwa @samia_suluhu_hassan Mwenyekiti wa @ccmtanzania na Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania atakwenda kulinzindua rasmi. Matembezi haya yaliongozwa na Katibu wetu wa Mkoa wa Mwanza Ndg @john_madagaa na Mwenyekiti wa Vijana wilaya ya Sengremea.

Dondoo chache za daraja hili;

βœ… lina urefu wa kilometa 3.2 na linatajwa kuwa daraja lenye urefu zaidi Afrika Mashariki na Kati. Ikishika nafasi ya 7 ya madaraja yenye urefu zaidi barani Afrika.
βœ… lina uwezo wa kupitisha magari zaidi ya 20,000 kwa siku ukilinganisha na huko nyuma ambapo ferry ilikuwa ikipitisha magari 1600 kwa trip moja.
βœ… daraja hili linakwenda kupunguza muda wa kusafiri kutoka saa moja mpaka dakika 3-4 na hivyo kuongeza muda wa wananchi kufanya shughuli za kijamii na Kiuchumi kwa ufanisi zaidi.

Ongezea hapo wananzengo faida zingine za daraja hili kwenye comments zawadi itawahusu pia πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½ | Posted on 19/Jun/2025 11:25:30

Jokate Mwegelo
Jokate Mwegelo

Check out the latest gallery of Jokate Mwegelo