Kajala Masanja Instagram – Balozi wa Bayport, ninasema
Bayport tuna huduma mpya – “Lipia Bima Mdo Mdo”
Usihangaike tena na malipo makubwa ya bima!
Wewe chagua aina ya bima unayohitaji — iwe ni ya gari, afya, usafirishaji wa mizigo, au ujenzi — sisi tutakulipia,
na wewe utatulipa (sisi bayport )kidogo kidogo… yaani Mdo Mdo!
Malipo ya bima tuachie sisi!
Bofya hapa :https://mailchi.mp/f578354a83c0/8tpozg6yq6
piga 0800 782 702 kupata maelezo zaidi. @bayport_tanzania | Posted on 07/Jan/2026 18:53:51



