Yvonne Cherrie Instagram – NBC Premier League leo Jumapili
Saa 8:00 mchana, Singida BS watakuwa nyumbani uwanja wa Liti wakicheza na Pamba Jiji.
Saa 10:15 jioni, Mashujaa FC watakuwa dimba lao la nyumbani Lake Tanganyika wakiwakaribisha Yanga SC.
Saa 1:00 usiku, Namungo FC watakuwa nyumbani uwanja wa Majaliwa wakikipiga na Coastal Union
Nani kuondoka na alama tatu?
Michezo hii itaruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
#NBCPL #Azamtvsports | Posted on 23/Feb/2025 12:16:18


