Yvonne Cherrie Instagram – NBC Premier League leo Ijumaa
Saa 8:00 mchana, Tabora United watakuwa nyumbani uwanja wa Ali Hassan Mwinyi wakiwakaribisha Dodoma Jiji.
Saa 10:15 jioni, Pamba Jiji watakuwa dimba la nyumbani CCM Kirumba wakiwaalika Wananchi Yanga SC.
Je, Wananchi watachukua alama tatu na kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo ama watakwaa kisiki kwa TP Lindanda?
Michezo hii itaruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
#NBCPL #Azamtvsports | Posted on 28/Feb/2025 10:57:10



